Sony

La semaine derniere certainement vole par a la vitese de fuel fibre Google.

View Post

Microsoft

Que vous pouvez faire un don dun peu de temps ou un peu dargent fregment.

View Post

Nintendo

Aer intrat in scelerisque acume producere satellite Aurora dare scriptor.

View Post

Technology

Advertise Here

Business

Nature

Gadgets

Social

MASANJA, SHILOLE WAFIKA ULIPO MJENGO WA UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI

Unknown     5:09 AM    



 Juu na chini ni Wasanii Masanja Mkandamizaji na Shilole wakiwa nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania, Washington, DC mara walipopita na kupiga picha nje ya mjengo Jumapili June 30, 2013 walipokua wakitokea uwanja wandege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia. Kesho mchana Jumanne April 2, 2013 watatembelea rasmi mjengo huo na kusaini kitabu cha wageni.



 Masanja na Shilole wakiwa na mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wakiangalia menyu tayari kwa kuagiza dinner ya mchana walipokwenda mgahawa wa kijiji cha Swahili uliopo Beltsville, Maryland


 Shilole na Masanja katika picha ya pamoja na mmiliki wa mgahawa wa Swahili Village Bwn.Kelvin.


Masanja na Shilole wakiingia kwenye usafiri wao kuelekea Hotelini walikofikia.

Hawa ndio wavulana wa familia moja waliotokwa na matiti ukubwani, wenzao wawacheka na kuwaita mashoga..!

Unknown     4:46 AM    
VIJANA watatu wa familia moja ya  Felipe Ramirez, wamepata balaa kubwa baada ya kuota matiti yaliyosababisha kuchekwa na vijana wenzao waliokuwa wakiwaona kuwa ni mashoga.
Vijana hao kutoka katika Jamhuri ya Dominica ni  Yeuri (17 ), Gabriel (11) na  Daniu Ramírez  (12),  hata hivyo, kwa sasa wanaishi kwa amani baada ya kufanyiwa upasuaji na kuondolewa matiti hayo.

Baba yao mzazi, Felipe Ramirez alifanya jitihada ya kuomba msaada kupitia televisheni na magazeti ili wanawe wafanyiwe upasuaji kwani walikuwa wakiishi katika mateso kwenye jamii yao.
Baada ya kuomba msaada, Mkurugenzi wa Hospitali ya  Marcelino Velez Santana nchini humo, Dokta  Pedro Antonio Delgado


aliamua kuwalipia gharama za upasuaji ambao ulichukua saa mbili.
 Ramirez, alisema: “Wakati wanaingizwa katika chumba cha upasuaji nilikosa raha kwa kuhofia kama watatoka salama nao waliogopa lakini baada ya kutoka, wote tumefurahi sana.”

LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Angalia video ya mke na mume wakichapana makonde hadharani kisa kikiwa na mke kumkimbia mumewe...!!

Unknown     4:43 AM    
Wawili hao walionesha sinema hiyo ya kushitukiza katika mji wa Bungoma huo Kenya na kusababisha waliokuwa na muda wa kutizama waketi kando wakishibisha macho na masikio yao bila ya kuwaingilia.
 
Sehemu ya sinema hiyo ni kama inavyoonekana kwenye video ya KTN iliyopachikwa hapo...


LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Wamvamia rais urusi wakiwa matiti nje

Unknown     11:12 PM    

Na Elvan Stambul
WANAWAKE wanne hivi karibuni walimfanyia kituko cha mwaka Rais  wa Urusi, Vladimir Putin baada ya kumvamia wakiwa vifua wazi vilivyoandikwa “Wewe Dikteta.”
Wasichana hao walidhibitiwa na wana usalama ambao waliwakamata na kuwatumbukiza kwenye magari na kumuacha Kiongozi wa Ujerumani, Chancela Angela Merkel aliyekuwa na Rais Putin akiwa ‘hana mbavu kwa kicheko.
Hata hivyo, kabla ya kutiwa nguvuni wasichana hao, Angel alionekana kuogopa. Walikuwa kwenye maonesho ya magari nchini Ujerumani.

GPL
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Watoto wazaliwa wakiwa wameungana

Unknown     11:10 PM    
MWANAMKE mmoja mkazi wa Kijiji cha Kasumuru, Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, Grace Joel Lwesha (19), amelia baada ya kujifungua watoto walioungana.
Akizungumza na waandishi wetu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Jengo la Watoto, Grace alilia kutokana na kile alichodai kujifungua watoto walioungana wakati yeye ni maskini.
 Watoto hao mapacha wa kiume,  Eliudi na Elikana wameungana sehemu ya makalio hivyo kulazimika kutumia sehemu moja ya haja kubwa.
Grace aliwaambia waandishi wetu kwamba, watoto hao walizaliwa katika Hospitali ya Kyela, Februari 20, mwaka huu wakiwa na miguu miwili na mikono miwili kila mmoja.
“Baada ya kujifungua Machi mosi nilihamishiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya kwa uchunguzi zaidi ili waweze kujua ni jinsi gani watakavyotenganishwa,” alisema.
Hata hivyo, hospitali hiyo ya mkoa haikufanikiwa badala yake Machi 16, walimhamishia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo kuanzia hapo mpaka sasa anafanyiwa maandalizi kwa ajili ya safari ya kupelekwa nchini India kwa upasuaji.
 “Ninawapenda sana watoto wangu hawa pamoja na kwamba wapo katika hali hii, ndugu zangu walipokuja hospitalini kuniona akiwema mama yangu walinifariji na kunisihi nisiwachukie nizidi kuwapenda.
“Kuwatunza ni kazi ngumu sana kwani mara nyingi wamekuwa wakininyima usingizi kwa sababu wamekuwa wakilala kwa nyakati tofauti.
“Nakumbuka siku niliyojifungua mume wangu alikosa raha lakini sasa anawapenda kwani amejua kuwa hii ni zawadi kutoka kwa Mungu.
 “Maisha yetu ni magumu kwani tunatoka kwenye familia maskini, kazi yetu ni kilimo cha kutumia jembe la mkono hivyo bado kuna mahitaji mengi nashindwa kumudu. Nichukue nafasi hii kuwaomba msaada Watanzania wote walioguswa na tukio hili,” alisema Grace.
Grace alifunga ndoa na Erick William Mwakyusa Desemba 23, 2010 na katika ndoa yao wamejaliwa kupata mtoto mmoja aitwaye Lide (3) na hao mapacha ni uzao wake wa pili.
Mama huyo anaomba msaada kwa mtu yeyote aliyeguswa na habari hii atume mchango wake kupitia namba 0753308525 ambayo ni ya mumewe au aende kumuona Muhimbili.

gpl
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

VIDEO::Hebu angalia maradhi ya ngozi ya mtu huyu inatisha:: Anusurika kujitoa uhai mara mbili

Unknown     10:26 PM    

LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Msanii wa Nako 2 Nako aacha kutumia madawa ya kulevya, ajiunga na taasisi kwa matibabu .

Unknown     10:17 PM    

Kupitia sammisago.com Rapper Ibra Da Hustler amefunguka kuwa sasa anampango wa kubadilisha maisha yake na jambo alilo anza nalo ni kuachana na matumizi ya dawa za kulevya aina ya Herion na Crack Cocaine. Da Hustler ameniambia kwenye exclusive interview niliyo mfanyia kuwa.

1] Nimeacha Kabisa madawa na nina siku nne sijagusa toka nimejiunga na hii taasisi, nimejifunza kuvumilia arosto na matumaini yangu ni kuacha kabisa madawa kwani yameharibu maisha yangu kabisa. Ni Uharibifu wa pesa nyingi na umekaribisha dharau kwenye maisha yangu

2] Nikifanikiwa kuwa sober kabisa mpango wangu ni kurudi vizuri kwenye mziki kwani ndio uwezo wa kazi nilionao na najua mashabiki bado wana hamu na kazi zangu.

3] Nako 2 Nako na Weusi wananipa ushirikiano mzuri sana, wote wamefurahi kusikia nimeacha madawa na Lord ndio aliye nipigia simu kuniambia nimefanya jambo msingi.

4] Yes ni kweli kuna binti alini shawishi kutumia madawa na ndio najutankumfahamu na kwanini nilikubali. Nimegungua hataki maendeleo yangu kabisa nanimejifunza kutoka kwake, sasa nikimuambia mtu usiguse madawa ataamini kwani najua kitu gani atapata kwenye maisha yake.

5] Wimbo Wa Sababu Ni Wewe Nimeimba mambo yote yaliyo nitokea toka nimeanza kutumia madawa na jinsi yalivyo mess up my life, Matumaini yangu vijana watajifunza kutokwa kwangu kuhusu madhara ya hii kitu.

SOURCE Sammisago.com
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.